Sunday, September 4, 2011

Capello: Lampard inabidi ajipange

Frank Lampard

Kocha wa timu ya Taifa ya Uingereza Mtaliano Fabio Capello, amemuonya Frank Lampard na nyota wote wakongwe wa Uingereza kwamba, wasiwe na uhakika wa namba kwenye kikosi cha wachezaji XI wa kwanza.

Lampard, 33, ambaye ameshacheza jumla ya mechi 87 za Uingereza, aliachwa kwenye benchi mpaka dakika ya 80 alipoingia, wakati Uingereza ikiwa mbele kwa 3-0 dhidi ya Bulgaria, ambapo Capello aliamua kuwaanzisha Scott Parker na Gareth Barry kwenye kiungo cha kati.

No comments:

Post a Comment