Thursday, September 1, 2011

Kikosi Cha Wachezaji XI Waliosajiliwa EPL

Dirisha la Usajili limefungwa rasmi jana saa 5 Usiku kwa saa za Uingereza, na litafunguliwa tena mwezi January likifahamika kama dirisha Dogo. Kwa mtazamo wake, Mchambuzi wa BBC Sports Mark Lawrenson ametaja listi ya wachezaji 11, na hawa ni wachezaji waliosajiliwa katika kipindi cha usajili toka vilabu vya nje ya Uingereza, na hii hapa ndio Starting XI yake.


Upi Mtazamo wako?
Toa maoni yako kwa kubofya hapo chini palipoandikwa comments

No comments:

Post a Comment