Friday, September 2, 2011

Chicharito Asawazisha Poland vs Mexico

Javier 'Chicharito' Hernandez

Mchezaji wa timu ya Manchester United, Javier 'Chicharito' Hernandez, amerejea tena uwanjani kuichezea timu ya Taifa lake la Mexico, na kuweza kuisaida kutoka sare1-1 dhidi ya Poland,

Chicharito aliweza kuisaidia timu hiyo, baada ya kufunga goli la kusawazisha lililopelekea mechi hiyo kuisha kwa sare.

Hii ilikuwa ni mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa Pepsi Arena kwenye jiji la Warsaw

No comments:

Post a Comment