Friday, September 2, 2011

Ujerumani ya Kwanza Kutinga UEFA EURO 2012


Wachezaji wa Ujerumani Wakipongezana

Germany 6 vs 2 Austria
Ujerumani imekuwa nchi ya kwanza kufaulu kuingia kwenye Fainali za UEFA EURO 2012, na hii ni baaada ya ushindi wa mabao 6-2 dhidi ya Austria.

Magoli ya Ujerumani yalifungwa na  8′ Miroslav Klose, 23′ Mesut Özil, 28′ Lukas Podolski,  47′ Mesut Özil,   84′ Andre Schürrle na 89′ Mario Götze. Wakati yale ya Austria yalifungwa na  
 Marko Arnautovic 42′ na Martin Harnik 51′

No comments:

Post a Comment