Wednesday, August 31, 2011

Diego Forlan ajiunga na Inter Milan


Diego Forlan

Klabu ya Inter Milan imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Atletico Madrid Diego Forlan

Forlan, 32, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo, ikiaminika ujio wake ni kwa ajili ya kuziba pengo liliachwa na Samuel Eto'o.

''Diego, anakaribishwa Inter,'' inasoma taarifa kwenye mtandao wa klabu ya Inter.

No comments:

Post a Comment