Wednesday, August 31, 2011

Mbwana Samatta: TP Mazembe ni Shughuli

Mbwana Samatta

Mshambuliaji wa timu ya taifa ‘Taifa Stars Mbwana Samatta anayekipiga na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amesema ushindani wa namba katika kikosi cha timu hiyo ni mkubwa sana, na nafasi anayocheza inawaniwa na washambuliaji watano toka mataifa yanayotambulika kisoka Duniani.

No comments:

Post a Comment