Wednesday, August 31, 2011

Scott Parker ajiunga Tottenham

Scott Parker

Klabu yaTottenham imefikia makubaliano ya kumsaini kiungo wa Uingereza Scott Parker toka West Ham.

Uhamisho huo, umekuja baada ya mchezaji huyo kuuandikia barua Uongozi wa West Ham juu ya nia yake ya kuhama klabu hiyo. Parker aliandinika, ningetamani nicheze kwenye Ligi kuu.

Ikumbukwe West Ham kwa sasa haipo kwenye Ligi Kuu ya Uingereza na hii ni baada ya kushuka daraja msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment