Wednesday, August 31, 2011

Kiungo wa Liverpool Joe Cole Ajiunga na Lille kwa Mkopo


Joe Cole

Kiungo wa Liverpool Joe Cole, amejiunga na timu Lille ya Ufaransa kwa Mkopo ambao utamuweka huko kipindi chote cha msimu.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 jana Jumanne alisafiri kwenda Ufaransa kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya, inaelezwa kuwa Aston Villa nao walikuwa wanamtolea macho mchezaji huyo

No comments:

Post a Comment