Tuesday, August 30, 2011

Joe Cole njiani kujiunga na Lille kwa Mkopo

Mchezaji wa timu ya Liverpool Joe Cole yupo mbioni kujiunga na timu ya Lille ya nchini Ufaransa kwa mkopo wa msimu mzima.
Inaaminika Queens Park Rangers na Tottenham Hotspur nao wanamtolea macho mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29.

No comments:

Post a Comment