Wednesday, August 31, 2011

Spurs yakataa £40m za Chelsea kumsajili Modric

Luca Modric

Tottenham wamekataa ofa iliyotolewa na timu ya Chelsea ya £40 million, kwa ajili ya kumsajili kiungo wao Luka Modric, hii ni kwa mujibu wa meneja wa timu hiyo Harry Redknapp.

No comments:

Post a Comment