Monday, August 29, 2011

Yanga watafuta mbadala wa Vodacom

Baadaa ya kugoma kuvaa jezi zenye nembo ya rangi nyekundu ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kwenye mashindano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania bara, Klabu ya Yanga imeanza mazungumzo na kampuni mbili za simu kwa ajili ya udhamini.

Yanga imekataa kuvaa jezi hizo huku sababu ikiwa nembo ya wadhamini wa ligi hiyo Vodacom kuwa ina rangi nyekundu ambayo ni ya mahasimu wao wa soka la Tanzania, Simba.

No comments:

Post a Comment