Tuesday, August 30, 2011

Owen Hargreaves anajiandaa kujiunga na Man City?

Kuna uwezekano mkubwa kwa mchezaji aliyeachwa na Manchester United Owen Hargreaves kufanya uhamisho ambao watu wengi utaweza kuwashangaza, na hii ni baada ya ripoti uliyotoka leo hii ikieleza kuwa mchezaji huyo amefanya vipimo vilivyochukua masaa matatu kwenye hospitali ya timu ya Manchester City.

Picha iliyopigwa leo Jumanne na Gazeti la Sun la nchini Uingereza, imemuonyesha ya mchezaji huyo akitoka kwenye hospotali ya Bridgewater.

No comments:

Post a Comment